Winamp Logo
Habari RFI-Ki Cover
Habari RFI-Ki Profile

Habari RFI-Ki

Swahili, Political, 1 season, 200 episodes, 1 day, 9 hours, 2 minutes
About
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
Episode Artwork

Mchango wako katika taarifa zetu juma hili

Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote ile kuhusiana na taarifa zetu au kile kinachoendelea pale ulipo. Juma hili waskilizaji walikuwa na kauli hii.
6/30/202410 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Haiti : Je polisi wa Kenya watafulu kuzima vurugu kule Haiti

Kenya imetuma polisi wake nchini Haiti kwenda kujaribu kudhibiti magenge ya wahalifu ambayo yametatiza usalama wa taifa hilo kwa kipindi kirefu. Polisi wa Kenya wanaenda Haiti licha ya mataifa kama Marekani kushindwa kurejesha amani nchini Haiti.Je Polisi wa Kenya watafaulu? ndilo swali tumekuuliza.Haya hapa baadhi ya maoni yako.
6/26/20249 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Burundi : Uhaba wa mafuta wazidi kutatiza shughuli za usafiri

Katika makala haya tunaangazia  taifa la Burundi linalozidi  kushuhudia uhaba mkubwa wa mafuta, hili likitatatiza shughuli za usafiri katika taifa hilo la Africa mashariki. Tumekuuliza unafikiri nini huwa chanzo cha ukosefu wa mafuta katika mataifa yetu? Haya hapa baadhi ya maoni yako.
6/25/20249 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Nini kifanyike kutatua wimbi la wakimbizi Africa

Katika makala haya tunajadili maadimisho siku ya kimataifa ya wakimbizi, yaliofanyika juma lililopita  ripoti zikionesha watu zaidi ya millioni 120 duniani wanakimbia mataifa yao kutokona na mizozo, uchumi mbaya na mabadiliko ya tabia nchi. Tumekuuliza nini kifanyike kukabiliana na wimbi la wakimbizi duniani? Haya hapa baadhi ya maoni yako
6/24/202410 minutes
Episode Artwork

Mada huru kutoka waskilizaji kuhusu matukio ya wiki

6/14/20249 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Matukio ya ajali za moto katika nchi tofauti Afrika Mashariki ikiwemo Bukavu DRC

6/14/202410 minutes, 1 second
Episode Artwork

Mvutano kati ya serikali ya Kenya kuhusu mafao ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta

Ofisi ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta imelalamikia kuhujumiwa kwa kutopewa ufadhili unaofaa
6/12/202410 minutes, 18 seconds
Episode Artwork

Visa vya raia kuwashambulia maofisa wa polisi vimeendelea kuongezeka Afrika

Kisa cha hivi punde nchini Kenya ambapo raia alimshambulia ofisa wa polisi ,kimeibua mjadala 
6/12/202410 minutes, 5 seconds
Episode Artwork

Jukumu la jumuiya ya kimataifa kumaliza mzozo wa nchi ya Sudan

Mashirika ya kutetea haki za binadaam yametuhumu jumuiya ya kimataifa kwa kushindwa kumaliza mzozo wa Sudan
6/11/20249 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kwenye makala Habari Rafiki mada Huru

6/7/20249 minutes, 49 seconds
Episode Artwork

Nini suluhu ya hali ya msongamano kwenye magereza ya nchi za Afrika Mashariki

Nchini DRC, mashirika ya kutetea haki za binadamu yakitaka serikali kuboresha mazingira ili kuepuka vifo na ukiukwaji wa haki za wafungwa,mwaka uliopita, vifo zaidi ya 500 vilirekodiwa katika gereza kuu la makala nchini DRC.
6/6/20249 minutes, 57 seconds
Episode Artwork

Matarajio yako kuhusu mkutano wa kibiashara kati ya Korea Kusini na Afrika

6/4/20249 minutes, 56 seconds
Episode Artwork

Uchaguzi nchini Afrika Kusini, chama tawla ANC kupoteza wingi wa viti bungeni

6/4/20249 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Kila Ijumaa ni fasi yako mskilizaji kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili

Kila siku ya Ijumaa rfi Kiswahili inakupa mskilizaji nafasi ya changai mada yoyote ambayo unapenda, liwe jambo linalofanyika hapo ulipo au yale umeskia katika taarifa wetu. Juma hili pamekuwa na matokeo mengi tu, katika ulingo wa siasan michezo, biashara, usalama na hata mazingira.Hii hapa baadhi ya micango yenu.
5/18/202410 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Je mataifa tajiri yanaweza saidia mataifa maskini kupambana na

Wiki hii Paris, ilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa kujadili namna ya kuyasaidia mataifa masikini hasa barani Afrika, kufikia malengo ya kukumbatia nishati safi ya kupikia na kuachana na mkaa na kuni. Ufaransa, imeahidi kutoa Euro Milioni 100 kusaidia kufikia malengo hayo ndani ya miaka mitano ijayo.Unaamini mataifa tajiri yatasaidia Afrika katika hili ?Serikali ya nchi yako inafanya nini kukumbatia matumizi ya nishati safi kama gesi ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
5/16/20249 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka

Serikali ya Somalia imeandikia bazara la usalama  la umoja wa mataifa ikitaka ujumbe wa umoja huo ambao umekuwa ukisaidia serikali katika maswala ya kisiasa na usalma kuondoka. Hakuna sababu maalumu zilizotolewa na serikali ya Somalia, hapa tunakuuliza je ni sahihi kwa ujumbe huu wa umoja wa mataifa  kuondoka kipindi hiki nchi hiyo ikizidi kupitia changamoto za kiusalama? Haya hapa baadhi ya maoni yako.
5/15/20249 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Ujuzi au vyeti, serikali ya Kenya inawasaka wafanyakazi waliotumia vyeti ghushi kupata ajira

Serikali ya Kenya inaendesha uchuguzi kuhusiana na madai ya baadhi ya wafanyakazi wake kumiliki vyeti ghushi, walivyotumia kupata ajira. Unafaikiri mtu anapaswa kuajiriwa kutokana na vyeti  vyake au ujuzi wa kazi ?Nchini mwako ajira hutolewa vipi ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
5/14/20249 minutes, 23 seconds
Episode Artwork

Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa

Kongamano la kwanza la mashirika ya kiraia la Umoja wa Mataifa limekamilika jijini Nairobi wiki iliyopita, huku wito wa mazungumzo ya uwazi na ukweli kati ya serikali na mashirika hayo ukisisitizwa. Upi mchango wa mashirika ya kiraia kwenye nchi zetu?Unadhani yamefanya vya kutosha kuzisaidia jamii na kuchochea maendeleo?Kipi zaidi kifanyike kuboresha uhusiano kati yake na Serikali? Ski makala
5/13/202410 minutes, 10 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki

Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?Hali ikoje nchini mwako?Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?
5/7/202410 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Maoni ya msikilizaji kuhusu yaliojiri nchi mwake wiki hii

5/7/202410 minutes, 6 seconds
Episode Artwork

Methodone kupambana na Ukimwi miongoni mwa watu wanaotumia dawa za kulevya

Kenya imeanza matumizi ya methadone kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi
5/3/20248 minutes, 40 seconds
Episode Artwork

Je siku ya wafanyikazi duniani ina maana gani kwa msikilizaji

5/3/202410 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo

Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia
4/30/202410 minutes
Episode Artwork

Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki

Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa
4/30/202410 minutes, 13 seconds
Episode Artwork

Sikiliza maoni yako kwenye makala Habari Rafiki Mada huru

4/26/202410 minutes
Episode Artwork

Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu

Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.
4/25/20249 minutes, 51 seconds
Episode Artwork

Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato
4/24/20249 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzo

4/23/20249 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC

Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.
4/23/20249 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kwenye mada huru makala habari rafiki

3/29/20249 minutes, 41 seconds
Episode Artwork

Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini Senegal

3/27/20249 minutes, 48 seconds
Episode Artwork

Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.

Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?
3/26/20249 minutes, 57 seconds
Episode Artwork

Viongozi wa jumuiya ya SADC wakubaliana kuendelea kuisaidia DRC

3/26/20249 minutes, 31 seconds
Episode Artwork

Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichana

Mamia ya raia wa Gambia wakiwemo wanawake wamefanya maandamano juma hili kuunga mkono sheria inayohalalisha ukeketaji wa wasichana na wanawake
3/20/202410 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

DRC yarejesha adhabu ya kifo ikiwalenga wahaini

3/20/202410 minutes, 19 seconds
Episode Artwork

Rais wa Rwanda Paul Kagame na Felix Tshisekedi kukutana kwa masharti

3/20/20249 minutes, 31 seconds
Episode Artwork

Kila Ijumaa ni nafasi kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili

Kila Ijumaa una nafasi ya kuchangia mada yoyote ndani ya makala Habari Rafiki, kuhusu taarifa zetu au kile kinachoendelea hapo ulipo. Juma hili haya ni baadhi ya maoni yako.
3/15/202410 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Kenya : Yasitisha mpango wa kutuma polisi Haiti

Kenya imetangaza kusitisha mpango wa kutuma polisi wake 1000 nchini Haiti baada ya kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Ariel Henry. Hata hivyo, inasema mpango huo utaendelea baada ya kupatikana kwa serikali mpya.Unazungumzia vipi uamuzi huu wa Kenya ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
3/13/20249 minutes, 51 seconds
Episode Artwork

Dunia: Mwezi mtukufu wa Ramadhan waanza rasmi

Waumini wa dini ya Kiisilamu wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kipindi hiki mataifa mengi ya Afrika mashariki yakishuhudia mfumko wa bei za bidhaa. Serikali zetu zifanye nini kupunguza mfumko wa bei za bidhaa? skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni yako
3/12/20249 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Ukeketaji donda sugu UNICEF yasema

Katika  makala haya ya  Habari Rafiki,  tunajadili kauli ya shirika la kutetea haki za watoto la UNICEF, kwamba wasichana milioni 230 duniani wamekeketwa, ikiwa ni ongezeko la asilimia tano katika kipindi cha miaka nane takwimu hizi zikitia hofu. Unadhani tunapashwa kubaliana  vipi na tamaduni hii ? Skiza makala haya kuskia baadhi ya maoni yako
3/11/202410 minutes
Episode Artwork

Maoni ya wasilizaji kuhusu siku ya wanawake duniani march 8

Makala haya ni maoni ya  waskilizaji kuhusu siku ya kimataifa ya wanawake dunaini ambayo huadhilishwa kila ifikapo march 8 ya kila mwaka.
3/11/202410 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu malalamiko ya wasanii wa Kenya kunyimwa mirabaha

Makala haya mtangazaji wa zamu Habari Rafiki Juma hili Ali Bilali anazungumzia kuhusu malalamiko ya wasanii nchini Kenya kuhusu kunyimwa mirabaha, baada ya kukusanywa na mamlaka husika, kinyume na ilivyo nchini Tanzania ambako licha ya changamoto zilizopo angalau wamepiga hatuwa kwenda mbele. Hali ikoje nchini mwako? Usikosi pia kumfollow mtangazaji wako Ali bilali Instagram kwa kubonyeza hapa @billy_bilali
3/6/202410 minutes, 4 seconds
Episode Artwork

Maoni yako katika mada huru

2/24/20249 minutes, 47 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu kuwepo kwa umri wa lazima wa watu kustaafu

2/23/20249 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya lugha mama

2/21/20249 minutes, 35 seconds
Episode Artwork

Siku ya kimataifa ya haki za kijamii kushinikiza haki na usawa katika jamii.

2/20/20249 minutes, 31 seconds
Episode Artwork

Mkutano wa viongozi wa nchi za Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa, Ethiopia

2/19/20249 minutes, 56 seconds
Episode Artwork

Mada ya msikilizaji wiki hii

2/19/202410 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Maandamano jijini Kinshasa yaliyolenga ubalozia wa nchi za magharibi

2/16/202410 minutes, 1 second
Episode Artwork

Madagascar yapitisha sheria ya kuhasiwa watuhumiwa wa ubakaji

2/16/202410 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Radio

2/13/202410 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Michuano ya AFCON 2024

Ivory Coast walitawazwa washindi wa michuano ya kombe la Afrika AFCON baada ya kuishinda timu ya Super Eagles ya Nigeria kwa mabao 2 -1
2/12/202410 minutes, 16 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu matangazo yetu juma hili

Kila siku ya Ijumaa una uhuru wa kuchangia mada mbalimbali kwenye makala ya Habari Rafiki, ndani ya rfi kiswahili. Haya hapa maoni ya baadhi yenu.
2/9/20249 minutes, 47 seconds
Episode Artwork

Ugumu wa kupata vitambulisho Kenya na DRC

 Makala ya Habari Rafiki leo tunajadili hatua ya raia nchini Kenya kuzidi kulalamikia ugumu wa kupata vitambulisho, huku nchini DRC raia pia wakilalamikia ugumu wa kupata passpoti. Je unafikiri ugumu huu unatokana na nini?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
2/8/20249 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

AFCON : Ubashiri wa mashabiki kuhusu mechi za leo

Tunajadili ubashiri wako kwa mechi za leo za  kuwania ubingwa wa kombe la Afrika, Afcon ambazo zitagarazazwa leo, ikiwa NI nusu fainali DRC ikipiga dhidi ya Ivory Coast nayo Nigeria ikichuana na Afrika Kusini.  Nani atatambaa kwenye mechi za leo?Haya hapa baadhi ya maoni yenu?     
2/7/20249 minutes, 39 seconds
Episode Artwork

Kenya : Vipi tunaweza zuia mikasa ya moto ?

Watu sita wamefariki nchini Kenya, kutokana na mkasa wa moto ambao ulitokana na mlipuko kwenye kituo cha gesi kilichokuwa karibu na  makaazi ya watu mtaani Embakasi viungani mwa jiji la Nairobi.  Tunakuliza wewe, nini kifanyike ili kuepusha mikasa kama hii kwenye maakazi ya watu , maana si mara ya kwanza tukio kama hili kutokea katika mataifa ya Africa.Haya hapa baadhi ya maoni yako.
2/6/20249 minutes, 51 seconds
Episode Artwork

Transparency international yasema Afrika yashindwa kupambana na rushwa

Ripoti ya hivi punde ya shirika la Transparency International, ambayo inaonesha kuwa mataifa ya Afrika hayapigi hatua kwenye mapambano dhidi ya rushwa.Tumekuuliza msikilizaji unadhani nini kinasababisha hali hii ? Unafikiri serikali ya nchi yako inafanya vya kutosha kupambana na rushwa?Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata maoni ya wasikilizaji wa RFI Kiswahili
2/1/202410 minutes, 1 second
Episode Artwork

Wabunge wapya waanza vikao vyao nchini DR Congo

Nchini DRC, bunge la awamu ya nne 2024 hadi 2028, lilianza vikao vyake siku ya Jumatatu jijini Kinshasa kwa kuwatambulisha wabunge wapya waliochaguliwa.Wananchi wa DRC watarajie nini kutoka kwa bunge hili ? Unadhani sera ya kususia vikao kwa wabunge wa upinzani ni chaguo bora ?
1/31/20249 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

Hali ngumu ya maisha katika nchi za Afrika

1/24/202410 minutes, 6 seconds
Episode Artwork

Hatua ya Sudan Kusitisha uanachama wake na muungano wa IGAD

Sudan kabla kuwasilisha msimamo huo rasmi ,ilisusia kikao cha IGAD jijini Kampala ikisema pia imesitisha uhusiano wowote na IGAD Ni hatua ambayo inakisiwa kuchochewa na IGAD kumwalika kiongozi wa RSF Mohamed Dagla katika kikao chake cha Kampala
1/23/20249 minutes, 51 seconds
Episode Artwork

Maoni yako mskilizaji kuhusu mada tofauti

1/19/20249 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Oxam laonya juu ya kuongezeka kwa pengo kati ya watu matajiri na masikini duniani

1/18/20249 minutes, 31 seconds
Episode Artwork

Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu na chanjo ya ugonjwa huo kuanza kutolewa Zambia

1/17/20249 minutes, 49 seconds
Episode Artwork

Nchi za Ukanda kuendelea kukumbwa na ajali za migodi, tukio la punde likitokea nchini Tanzania

1/16/20249 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu muanza kwa michuano ya AFCON23 nchini Ivory Coast, na timu unayoshabikia

1/15/20249 minutes, 48 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu tuhuma za Burundi kwa Rwanda kuwaunga mkono waasi

Maoni ya waskilizaji kuhusu tuhuma za rais wa Burundi dhidi ya Rwanda kwamba inawaunga mkono waasi wa M23 ambao walitekeleza mauaji hivi karibuni nchini Burundi katika eneo la mpaka wa Burund na DRC na kuwauwa watu 20.
1/10/20249 minutes, 56 seconds
Episode Artwork

Mada ya msikilizaji

1/5/202410 minutes, 1 second
Episode Artwork

Athari za Matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii

Mataifa mengi kama Tanzania, Burundi na DRC yamekabiliwa na athari za matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii kuanzia kwa taarifa za uongo hadi jumbe za chuki hasa nyakati za uchaguzi.Na leo kwenye makala yetu tulitaka kujua iwapo unadhani mitandao ya kijamii inatumika kueneza propaganda? na nini kifanyike ili kuzuia matukio kama haya?Sikiliza 
12/19/202310 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Jumuiya ya kimataifa kuongeza shinikizo kwa Israel na Hamas kusitisha mapigano

Kwenye makala yetu ya leo tunajadili kuhusu kuhusu jumuiya ya kimataifa kuongeza shinikizo kwa Israel na Hamas kusitisha mapigano.Unafikiri kwa nini mataifa yanashindwa kuzishinikiza pande hizo kusitisha mapigano? Nini zaidi kifanyike kupata suluhu ya mzozo kati ya pande hizo mbili ? sikiliza 
12/18/20239 minutes, 48 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili

Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote inayokuhusu au ile umeskia katika taarifa zetu.
12/15/20239 minutes, 46 seconds
Episode Artwork

COP28: Dunia yaidhinisha wito wa kuachana na nishati ya mafuta na gesi

Dunia kwa mara ya kwanza imeidhinisha wito wa kuachana na nishati ya mafuta na gesi katika juhudi zakukabiliana na madiliko ya hali ya hewa.Na hii ni baada ya mkutano wa COP28 kule Dubai.Kwenye makala utakayosikiliza tulimuuliza msikilizaji wetu anafikiri mambo gani yatabadilika baada ya siku 13 za mazungumzo? na pengine alitarajia nini kutoka kwa mkutano huo
12/14/20239 minutes, 42 seconds
Episode Artwork

Marekani yatangaza usitishwaji vita wa saa 72 kati ya waasi wa M23 na jeshi la FARDC nchini DRC

Marekani imetangaza usitishwaji vita wa saa 72, uliokubaliwa na pande zinazopigana mashariki mwa DRC.Ukumbuke kuwa Novemba mwaka jana makubaliano mengine ya kusitisha mapigano yalipitishwa kati ya waasi wa M23 na wanajeshi wa FARDC.Wasikilizaji wetu wanawaza nini kuhusu usitishaji wa vita hivi punde,je  utadumu? Hebu sikiliza 
12/13/20239 minutes, 49 seconds
Episode Artwork

Mkutano wa wanachama wa Ecowas wafanyika jijini Abuja nchini Nigeria

Viongozi wa nchi za Afrika Magharibi, wametoa masharti kwa nchi ya Niger kumuachia huru Rais Bazoum na kuindolea vikwazo nchi hiyo baada ya kukutana jijini Abiuja nchini Nigeria.Na kwenye makala yetu ya leo tulikuuliza iwapo Unadhani ECOWAS iko sahihi kuendelea kuweka vikwazo dhidi ya Niger, Mali na Burkina Faso?Sikiliza maoni ya baadhi ya wasiikilizaji wetu 
12/12/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Umoja wa mataifa washindwa kuafikiana kuhusu mapigano kwenye eneo la Gaza

Msikilizaji kwenye makala yetu hii leo tunazungumza kuhusu, baraza la usalama katika Umoja wa Mataifa kushindwa kuafikiana kuhusu usitishwaji wa mapigano kwenye eneo la Gaza baada ya kura ya turufu ya Marekani.Hebu sikiliza maoni ya raia kutoka mataifa mbalimbali.
12/11/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Jumuiya ya Afrika mashariki kukutana jijini Arsuha juma lijalo

Wakati huu wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakitazamiwa kukutana juma lijalo, Jumuiya hiyo imeonekana kuendelea kushindwa kutatua mizozo inayoikumba nchi wanachama.Na kwenye makala yetu tumejadili mengi ikiwemo nini cha ziada kifanyike kuboresha utendakazi jumuiya hiyo.Sikiliza.
11/16/20239 minutes, 40 seconds
Episode Artwork

Nchi za Kenya na Rwanda zinafikiria kuondoa hitaji la viza kwa raia wa Afrika

11/14/20239 minutes, 36 seconds
Episode Artwork

Mali: Mapigano yaendelea kushuhudiwa huku vikosi vya umoja wa Mataifa vikiondoka

Mapigano yameendelea kuripotiwa kati ya jeshi la Mali, wapiganaji wa Tuareg na makundi mengine ya waasi kaskazini mwa taifa hilo wakati huu vikosi vya UN vinapoendelea kuondoka katika eneo hilo. Unadhani  kuondoka kwa vikosi hivyo kumechangia kuongezeka kwa mapigano?
11/13/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili

Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote inayokuhusu au ile umeskia katika taarifa zetu. Haya hapa maoni yako kuhusu matangazo yetu juma hili.
11/3/202310 minutes
Episode Artwork

Kenya : Mfalme Charles III akosa kuomba msamaha licha ya matarajio

Katika makala haya tunajadili  hatua ya mfalme wa Uingereza Charlers wa III, kujutia vitendo vya kikoloni vilivyotekelezwa nchini Kenya bila kuomba radhi kama alivyotarajiwa, huku rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier, akikiri makosa ya kikoloni yaliofanyika nchini Tanzania, na kuomba msamaha Unazungumziaje matamshi ya viongozi hawa wawili ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
11/2/20239 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Uganda : Raia wabugia pombe kupita kiasi

Kweny makala haya tunajadili hatua ya Wizara ya afya nchini Uganda kusema raia wake zaidi ya milioni 1.2 wamezama kwenye unywaji wa pombe kupita kiasi, hili likitia serikali wasiwasi. Serikali zetu zinaweza kufanya nini kudhibiti unywaji wa pombe kupita kiasi ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
11/1/20239 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Kenya: Mfalme wa Uingereza azuru Kenya

Mfalme wa Uingereza yko nchini Kenya wakati huu masharika ya kiraia yakitaka aombe msamaha kwa vitendo vya kikoloni nchini Kenya vilivyotekelezwa na nchi yake. Je unadhani hili ni sawa ?Skiza baadhi ya maoni yako.
11/1/20239 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Ukataji wa miti kuzungu mkuti kwa mataifa ya Africa na dunia

Nchi ambazo ni makazi ya misitu mikuu mitatu ya mvua duniani mwishoni mwa wiki iliyopita, zilibaliana kushirikiana ili kumaliza ukataji miti na kulinda bayoanuwai lakini zikashindwa kufikia makubaliano dhabiti ya kulinda udhibiti wa kaboni. Katika mahaya haya tumekuuliza iwapo unadhani wakati umewadia nchi zetu kuchukuwa hatua kuzia ukataji wa miti.Haya hapa baadhi ya maoni yako.
10/30/20239 minutes, 48 seconds
Episode Artwork

Makala ya habari rafiki kila Ijumaa, mada huru

10/27/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Mazungumzo ya kutatua mzozo wa sudan yarejelewa mjini Jedah, Saudi Arabia

Mazungumzo ya kutatua mzozo wa sudan yarejelewa mjini Jedah, Saudi Arabia, baada ya mazugumzo ya awali kukosa kuzaa matunda.
10/27/20239 minutes, 45 seconds
Episode Artwork

Rais wa Uganda avitaka vyombo vya usalama kuwashirikisha polisi na raia kuwasaka waasi wa ADF

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametoa wito kwa vyombo vya usalama kuwashirikisha raia katika maswala ya usalama na kuwawinda waasi wa ADF wanaochangia usalama mdogo nchini na mashariki mwa DRC
10/25/202310 minutes, 11 seconds
Episode Artwork

Kudorora kwa sarafu y anchi za Afrika mashariki dhidi ya dola

Kenya imerekodi sarafu yake kushuka maradufu dhidi ya dola, katika historia ya nchi hiyo, hali ambayo pia inashuhudiwa katika mataifa ya Afrika Mashariki, na kutishia kulemaza zaidi chumi za mataifa haya ya kikanda.
10/25/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Sheria ya afya nchini Kenya kusaidia raia wake

Ijumaa iliyopita nchi ya Kenya ilizindua mswada wake wenye utata unaosemekana kusaidia kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wake. Mpango huo wa Afya ukionekana kuwa mzigo zaidi kwa Wakenya wenye mishahara ambao sasa watatozwa 2.75% ya mishahara yao, kugharamia hazina hiyo ya Afya.Tumemuuliza msikilizaji kuwa ana maoni gani kuhusu hatua hii, nchini Kenya?Na je serikali yako imefanya nini kuafikia huduma za afya kwa wote?
10/23/202310 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Wasikilizaji wa RFI Kiswahili watoa mada huru

Ni mada huru ambapo wasikilizaji wetu kutoka kila kona ya dunia wamezungumzia kuhusu habari mbali mbali walizosikia katika matangazo yetu ya juma hili.
10/20/202310 minutes, 13 seconds
Episode Artwork

Ziara ya rais wa Marekani Joe Biden nchini Israeli ina tija yoyote?

Rais wa Marekani Joe Biden amesema nchi yake itashirikiana kwa karibu na Israeli na ameunga mkono kwamba wapiganaji wa kipalestina ndio waliohusika na shambulio la roketi katika hospitali ya Gaza. Tumekuuliza unadhani ziara yake nchini Israeli itabadilisha chochote? Nini kifanyike ilie kuepuka janga la kibinadamu huko Gaza?
10/19/202310 minutes, 4 seconds
Episode Artwork

DRC yaitaka Monusco kuondoka mwishoni mwa mwaka huu wa 2023

Mamlaka ya DRC imeiomba tume ya Umoja wa Mataifa MONUSCO kuwaondoa wanajeshi wake elfu kumi na nne kabla ya mwisho wa mwaka huu. Kwa upande wake katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres yeyé anaamini kuwa hali nchini DRC inazidi kuzorota. Tumekuuliza unadhani ni wakati mwafaka kwa MONUSCO kuondoka nchini DRC?Jeshi la Congo FARDC linaweza kurejesha usalama na amani nchini humo? Kukuletea makala hii naitwa Ruben Lukumbuka
10/18/202310 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Rais wa DRC alegeza makataa ya hali ya dharura kwenye majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri

Makala ya habari rafiki imeangazia hatua ya serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kutangaza kuwa italegeza hatua kwa hatua hali ya dharura kwenye majimb ya Kivu kaskazini na Ituri, miaka miwili baada ya kuwekwa kwenye maeneo hayo kufuatia utovu wa usalama
10/16/202310 minutes, 6 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu mzozo mpya baina ya Israel na Palestina

Mapigano yanaendelea kati ya wapiganaji wa Hamas na wanajeshi wa Israel, baada ya kundi la Palestina, kufanya mashambulio ya kushtukiza dhidi ya Israel kutoka Gaza, katika ongezeko kubwa la mzozo kati ya Israel na Palestina.Unazungumziaje mzozo huu?Unadhani jumuiya ya kimataifa imeshindwa kuzisaidia pande hizo mbili kupata suluhu?
10/9/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili

Kila siku ya Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi kuchangia mada yoyote unayopenda kuhusu taarifa zetu au kile kinaendelea pale ulipo. Juma hili tumekuwa na maoni chanya hasi kuhusu maswala mbali ya yale yanayoendelea duniani.Skiza makala haya.
10/7/202310 minutes
Episode Artwork

Uganda na Kenya zapiga marufuku za safari za ngambo

Serikali za Uganda na Kenya zimepiga  marufuku safari za ngambo za afisa wa serikali zisizo kuwa za lazima, lengo likiwa kubana matumizi ya pesa za umma.  Ni hatua inayotokana kile zile hizo zimesema baadhi ya safari hizo ahazina manufaa kwa taifa. Haya hapa baaadhi ya maoni yako.
10/5/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Wanawake wachukuwa majukumu muhimu katika familia

Utafiti wa hivi punde nchini Kenya, umeonesha kuwa idadi kubwa ya wanawake wamechukuwa majukumu ya wanaume nyumbani, hasa katika maeneo ya mijini.  Wengi wakionekana kusimamia majukumu muhimu kwa familia Je unakubaliana na utafiti huu kwamba wanaume wameacha kuteleza majukumu yao kwa jamii?  Haya hapa baadhi ya maoni yako.
10/4/20239 minutes, 39 seconds
Episode Artwork

Kinyanganyiro cha urais DRC chapamba moto

Nchini DRC   muungano wa kisiasa wa chama tawala Sacred Union umemteua rais Felix Tshisekedi , kuwania tena kiti cha urais kwenye uchaguzi wa mwezi Disemba, ambapo atapambana tena  na  mpinzani Martin Fayulu, Moise Katumbi na mshindi wa tunzo ya mani ya Nobele  daktari Denis Mukwege miongoni mwa wagombea wengine. Unazungumziaje hatua Denis Mukwege kuwania Urais.Je unafikiri DRC imejitarisha vilivyo kwa uchaguzi huu ?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
10/3/20239 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Matayarisho ya mvua za el Nino Africa Mashariki

Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati zimeanza kuchukua mikakati ya kujiweka tayari kwa ajili ya kudhibiti athari zinazotokana na mvua ya El Nino inayotarajiwa kuaanza kunyesha mwezi huu. Mamlaka ya hali ya hewa zimeonya kuhusu athari zinazoweza kujitokeza.Nchi yako imejiandaa vya kutosha? Haya hapa baadhi maoni yako. 
10/2/20239 minutes, 46 seconds
Episode Artwork

Vijana wengi wa Afrika wahatarisha maisha yao kwa kujaribu kwenda Ulaya

9/28/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu hatuwa ya Somalia kuomba ARTMIS kuchelewa kuondoka

Haya ni maoni ya waskilizaji wa RFI KIswahili kuomba Umoja wa Afrika kuchelewesha kuondoa vikosi vyake nchini Somalia
9/28/20239 minutes, 32 seconds
Episode Artwork

Upinzani kuzuiliwa kufanya mikutano Africa

Serikali nyingi za Afrika zinazodai kuheshimu demokrasia zimeendelea kuminya uhuru wa vyama vya upinzani kufanya mikutano ya kisiasa, hivi punde tukishuhudia chama cha upinzani nchini Uganda NUP chake Bobi Wine, kikizuiwa kufanya mikutano yake ya kisiasa. Hali ikoje nchini mwako ? Haya hapa baadi ya maoni yako
9/20/20239 minutes, 58 seconds
Episode Artwork

Kupanda kwa bei za mafuta katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki

Nchi za Kenya, Burundi na DRC, zimetangaza bei mpya za mafuta, wakati huu nauli za usafiri na bei ya vyakula ikiongezeka.Nchini mwako hali ikoje?Mataifa ya Afrika Mashariki yanapaswa kufanya nini ilikudhibiti bei za bidhaa?
9/19/20239 minutes, 37 seconds
Episode Artwork

Utawala wa kijeshi nchini Mali, Niger na Burkina Faso wasaini mkataba wa kushirikiana kijeshi,

Utawala wa kijeshi nchini Mali, Niger na Burkina Faso umesaini mkataba wa ushirikiano wa kijeshi, mataifa haya yakiahidi kufanya kazi kwa pamoja kuzuia uvamizi wowote kutoka nje.Na kwenye makala yetu utaskia maoni tofauti tofauti ya iwapo hatua hii ya kushirikiana kijeshi kati ya mataifa haya inaweza zuia tishio la kijeshi kutoka nje na iwapo mpango huo utafanikisha vita dhidi ya makundi ya kijihadi.
9/18/202310 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Mada ya msikilizaji

Katika makala haya tunaangazia maoni ya msikilizaji kuhusu matukio ya juma lote yakiwemo Mafuriko Libya na tetemeko la ardhi Morocco
9/15/202310 minutes, 18 seconds
Episode Artwork

Umoja wa Afika wajumuishwa kwenye muungano wa G20

Umoja wa Africa umejumuishwa kuwa mwanachama wa kudumu katika muungano wa G20 katika mkutano uliokamilika nchini India na sasa una nafasi sawa na Umoja wa Ulaya EU. Nini mtazamo wako kuhusiana na hatua hii?Unadhani AU sasa utakuwa na ushawishi katika maswala ya ulimwengu. Kwenye makala haya utaskia maoni tofauti ya wasikilizaji kuhusiana na swala hili.
9/13/20239 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Tetemeko la ardhi nchini Morocco: Mamlaka zakubali msaada kutoka Hispania, UAE na sio Ufransa

Karibu watu elfu tatu wamepoteza maisha kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Jumamosi iliyopita nchini Morocco. Mamlaka zinakubali msaada wa kibinadamu wa dharura kutoka Uingereza, nchi za Kiarabu, na Hispania lakini sio Ufaransa, ambayo ina wakazi wapatao milioni 2 kutoka Morocco.TumekuulizaJe, siasa zinapaswa kupewa kipao mbele badala ya misaada ya dharura kwa wananchi? Kwenye makala haya utaskia maoni tofauti ya wasikilizaji kuhusiana na swala hili.
9/13/202310 minutes, 7 seconds
Episode Artwork

EAC kuongezewa mda mashariki mwa DRC hadi Disemba

Jumuiya ya Afrika mashariki imeamua kuongeza mda wa jeshi la EAC mashariki mwa DRC hadi Disemba.Mei mwaka jana Rais Felix Tchisekedi alikosoa vikali jeshi hili lakikanda kwa kutokua na ufanisi katika kupambana na waasi wa M23.Kwenye makala haya utaskia maoni tofauti ya wasikilizaji kuhusiana na swala hili.
9/13/202310 minutes
Episode Artwork

Jeshi nchini Gabon lamtangaza Brice Nguema kuwa rais wa mpito

Mwishoni mwa juma Gabon ilifanya uchaguzi  na kutangaza matokeo yake  siku ya jumatano  kabla tuu ya mapinduzi kufanyika na yaliyomuondoa Ali Bongo madarakani.Na tumemuuliiza msikilizaji  nini maoni yake kuhusiana na mapinduzi hayo ya kijeshi.
8/31/20239 minutes, 58 seconds
Episode Artwork

Je, uchaguzi nchini Zimbabwe ulikuwa huru na haki ?

Tunaangazia uchaguzi ambao umekamilika wiki iliyopita nchini Zimbabwe ambapo Rais Emmerson Mnangagwa alitangazwa mshindi wa uchaguzi nchini humo kwa asilimia 53 ya kura wakati mpinzani wake mkuu Nelson Chamisa akikataa matokeo hayo na kudai kuibiwa kura.
8/29/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Kiongozi wa Wagner Yevgeny Prigozhin azikwa

Tunaangazia Kifo cha kiongozi wa Wagner Yevgeny Prigozhin kutokana na ajali ya ndege ambacho kimezua maswali mengi likiwemo suala la ulipizaji kisasi kutoka kwa rais wa Urusi Vladmir Putin miezi miwili tu baada ya uasi wa muda mfupi.Tumemuuliza msikilizaji ikiwa anafikiri kifo chake kilikuwa ajali ya kawaida ama uhalifu ?Kifo chake kinaathiri vipi shughuli za Wagner barani Afrika ?
8/29/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Siku ya kimataifa ya kukumbuka Biashara ya Utumwa na ilivyotokomezwa

Juma hili dunia imeadhimisha kumbukizi ya kumalizika biashara ya utumwa, wakati huu biashara ya binadamu ikishamiri, maelfu ya raia hasa kutoka Afrika wakisafiri na kusafirishwa kwenda Ulaya kutafuta maisha.Pamoja na wasikilizaji wetu tunaangazia nini kifanyike kukomesha biashara ya binadamu? Ungana na mwandishi wetu kupata mengi zaidi
8/24/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Vita dhidi ya kundi la Al-Shabaab nchini Somalia

Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud na serikali yake wameimarisha vita vikali dhidi ya kundi hilo ambalo kwa muda sasa limekuwa likitekeleza mashambulio katika baadhi ya maeneo kwenye taifa hilo pamoja na nchi jirani.
8/22/20239 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

Umoja wa Mataifa wataka hatua za haraka kuchukuliwa kutatua mzozo wa Sudan

8/17/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Sarafu za kidijitali zaanza kupata umaarufu barani Afrika

8/16/20239 minutes, 58 seconds
Episode Artwork

DRC: Viongozi wakutaka Kinshasa kutathmini hali ya dharura Kivu Kaskazini na Ituri

8/15/202310 minutes
Episode Artwork

Afrika mbioni kutafuta suluhu ya changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana

Mwishoni mwa juma lililopita, dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya vijana, maadhimisho yaliofanyika wakati huu idadi kubwa ya vijana katika nchi za Afrika wakisalia bila ajira. Unafikiri nchi za Ukanda wa Afrika zifanye nini kuongeza nafasi za ajira kwa vijana? Bonyeza sauti ili usikilize maoni ya wasikilizaji.
8/14/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Mada Huru: Msikilizaji kuzungumzia habari alizoziskia wiki nzima

Habari zilizoangaziwa ni pamoja na msimamo aliouchukua rais wa Uganda Yoweri Museveni, baada ya benki ya dunia kusitisha ufadhili kwa taifa hilo kutokana na kuweka sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.
8/14/202310 minutes
Episode Artwork

Kenya: Serikali na upinzani waanza kutafuta suluhu ya kisiasa

8/10/20239 minutes, 47 seconds
Episode Artwork

Nchi za Afrika kuwa na katiba kuruhusu marais wastaafu kushtakiwa kwa makosa wakati wa utawala wao

8/9/20239 minutes, 49 seconds
Episode Artwork

Ajali za boti zaendelea kuripotiwa Afrika Mashariki

8/8/20239 minutes, 49 seconds
Episode Artwork

Upinzani nchini DRC walalamikia kuhangaishwa na serikali kuelekea uchaguzi wa mwezi Disemba

8/7/20239 minutes, 42 seconds
Episode Artwork

Mada huru kama alivyochagua msikilizaji

8/4/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Mataifa ya Afrika yameahidi kudhibiti kelele kutoka kumbi za burudani na uraibu wa pombe

8/3/202310 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Kikosi cha umoja wa Afrika nchini Somalia ATMIS kinaendelea kupunguza idadi ya wanajeshi wake

8/3/202310 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

ECOWAS imeutaka utawala wa kijeshi nchini Niger kurejesha utawala wa kiraia ndani ya wiki moja

ECOWAS imetishia kutumia nguvu na kutangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Niger ,iwapo utawala wa kijeshi uliofanya mapinduzi ,hautarejesha utawala wa kiraia ndani ya wiki moja
8/1/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Rais wa zamani wa Nigeria Olesegun Obasanja anatazamiwa kuwa mpatanishi Kenya

7/31/20239 minutes, 57 seconds
Episode Artwork

Mada ya msikilizaji

7/29/202310 minutes, 13 seconds
Episode Artwork

Mkutano wa siku mbili kati ya Urusi na Afrika umeanza rasmi,Saint Petersburg.

Kongamano kati ya Urusi na nchi za Afrika limeanza wakati huu Moscow ikizituhumu nchi za Magharibi haswa Marekani kwa hujuma kwa kushinikiza nchi za Afrika kutohudhuria.Rais wa Urusi Vladmir Putin hii leo amewapokea viongozi hao katika mji wa Saint Petersburg.
7/27/202310 minutes
Episode Artwork

Upinzani umetishia kuishtaki serikali ya Kenya kwa ukatili wa polisi wakati wa maandamano

Kenya imeshtumiwa kwa kosa la polisi kutumia nguvu kupitiliza kuwadhibiti waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga kupanda gharama ya maisha
7/26/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Siku 100 zimekamilika tangu kuanza kwa mapigano nchini Sudan

Maelfu ya raia wamekimbilia nchi zingine ili kuepuka vita vya pande mbili nchini Sudan wakati huu mazungumzo ya kutafta suluhu yakikosa kufua dafu
7/25/202310 minutes
Episode Artwork

Mali yaidhinisha katiba mpya baada ya kura ya maoni ya mwezi uliopita

Nchi ya Mali kupitia kiongozi wake wa kijeshi Kanali Assimi Goita imetangaza katiba mpya ya nchi hiyo na ambayo upinzani imepinga na hivyo kutishia maandamano.Uchaguzi wa nchi hiyo ulitarajiwa kufanywa mnamo Februari 2022, lakini ukaahirishwa hadi Februari 2024.
7/24/202310 minutes
Episode Artwork

Makala habari rafiki, Mada huru

7/22/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Wanadiplomasia na viongozi wa kidini nchini Kenya, wajaribu kutafuta suluhu ya maandamano

7/20/20239 minutes, 28 seconds
Episode Artwork

Urusi kujiondoa kwenye mkataba wa kuruhusu usafirishaji wa nafaka kutoka nchini Ukraine

Siku ya Jumatatu Urusi ilijiondoa kwenye mkataba muhimu wa kuruhusu usafirishaji  wa nafaka kutoka nchini Ukraine hadi kwenye masoko ya kimataifa, hatua inayotishia kupanda kwa bei ya bidhaa ya vyakula katika nchi zinazotegemea nafaka kutoka nchini Ukraine.
7/19/20239 minutes, 46 seconds
Episode Artwork

Ripoti ya umoja wa mataifa kuwa asilimia 40 ya nchi zinazoendelea zinakabiliwa na madeni

Rais wa Kenya, William Ruto alisisitiza Afrika kuwa na useme kwenye taasisi za kifedha za kimataifa pamoja na kutaka masharti ya ulipaji madeni kuangaziwa upya.Tumekuuliza msikilizaji, Unaamini nchi za Magharibi zinatumia madeni kuzinyonya nchi za Afrika?Mataifa ya Afrika yafanye nini kuepuka madeni
7/18/20239 minutes, 37 seconds
Episode Artwork

Wawakilishi wa jeshi la Sudan kurejea mjini Jeddah nchini Saudi Arabia kwa mazungumzo na RSF

7/18/20239 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Kila ijumaa nafasi yako kutoa maoni kuhusu habari zetu

Kila Ijumaa rfi Kiswahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote unayoipenda Juma hili waskilizaji wengi wamezungumzia hali nchini DRC, Kule Ukraine na hali wanayopitia pale walipo skiza makala haya kwa mengi zaidi.
7/15/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Ukraine Kusubiri zaidi kujiunga na NATO

Viongozi wa NATO wamekubali Ukraine kujiunga nao ila baada ya vita kati yake  na Urusi kumalizika, hatua ambayo kidogo ilionekana kutomfurahisha rais wa Urusi Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy. Tumekuuliza nini maoni yako kuhusu mtazamo wako kuhusu hatua ya viongozi wa NATO.Haya hapa baadhi ya maoni yako.
7/14/20239 minutes, 33 seconds
Episode Artwork

Upinzani wateta nchini Zimbabwe

Nchini Zimbabwe vyama vya upinzani vinatatizwa kufanya kampeni kuelekea uchaguzi wa mwezi ujao wakati chama tawala kikiendelea na kampeni, polisi wakidai ni kutokana na vyama vya kukosa kutoa ilani ya kufanya mikutano ya hadhara kwa wakati, hivyo wanalazimika kuvizuia. Tumeuliza iwapo unahisi demokrasia ya Zimbabwe ipo hatarini na hili linatoa taaswira gani kwa mataifa ya Africa.Haya hapa baadhi ya maoni yako
7/13/20239 minutes, 58 seconds
Episode Artwork

Africa yaadimisha siku ya kupinga ufisadi

Bara la Afrika hivi leo limeadhimisha siku ya kupinga ufisadi wakati huu hali ya ufujaji na ubadhirifu ikiripotiwa kusalia juu katika mataifa mengi ya Afrika.  Unazungumziaje hatua zilizopigwa na nchi yako kupambana na ufisadi?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
7/12/20239 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

Hofu ya vita vya sudan kusambaa kwa mataifa jirani

Umoja wa mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu kuenea kwa mataifa jirani kwa vita vinavyoendelea nchini Sudan, umoja huo ukisema kuna haja ya hatua za dharura kuchukuliwa ili kunusuru hali nchini Sudan. Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonio Guterres, amesema vita hivyo pia huenda vikageuka kuwa vya wenyewe kwa wenyewe.Haya hapa maono yako kuhusu hali nchini Sudan.
7/11/20239 minutes, 38 seconds
Episode Artwork

Maadhimisho ya miaka 13 ya RFI Kiswahili na siku ya kimataifa ya Kiswahili

Kila tarehe 7 ulimwengu huungana kuadhimisha siku ya kimataifa ya Kiswahili
7/7/202310 minutes
Episode Artwork

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ameahidi uchaguzi uliocholeweshwa utafanyika mwakani

Rais Salva Kiir na makamu wake wa kwanza Riek Machar watawania urais kwenye uchaguzi huo
7/7/20239 minutes, 58 seconds
Episode Artwork

Rais wa Senegal Macky Sally ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi wa 2024

Rais Macky Sally kinyume na matarajio ya wengi ,ametangaza hatowania urais kwenye uchaguzi ujao .Katiba ya Senegal inamruhusu rais kuongoza kwa mihula miwili
7/7/20239 minutes, 50 seconds
Episode Artwork

Viongozi wa Afrika wanaendelea kujadili namna ya kupunguza gharama ya usafiri wa ndege

Safari za ndege katika nchi nyingi za Afrika ni ghali mno
7/5/202310 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Maandamano nchini Ufaransa kufuatia mauaji ambayo polisi wanatuhumiwa

Nini kifanyike kuhakikisha polisi wanawajibishwa?
7/3/20239 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Mada ya msikilizaji

Siku ya Ijumaa ,msikilizaji anachagua mada ambayo angependa kuichangia
7/3/202310 minutes, 6 seconds
Episode Artwork

Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Odinga ametaka raia kukwepa kodi

Sheria mpya ya fedha inatazamiwa kuanza kutekelezwa kuanzia Julai 1
6/29/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Marekani yapendekeza vikosi vya MONUSCO kuondolewa kwa mpangilio

Kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu iwapo ni muda wa kuondoa vikosi vya kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia,MONUSCO Serikali ya Kinshasa imependekeza MONUSCO kuondolewa baada ya uchaguzi wa Disemba
6/29/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Je, nini kimechangia kuongezeka kwa makundi ya kigaidi barani Afrika?

Wapiganaji wa Al-Shabaab hivi karibuni wameongeza mashambulio, ambapo tukio la hivi punde likiwa nchini Kenya mnamo Juni 25 ambapo watu tano waliuawa, lengo likiwa ni kuishinikiza Nairobi kuwaondoa wanajeshi wake nchini Somalia. Wewe unadhani nini kumesukuma kuendelea kwa mashambulio haya?Nchini mwako kunashuhudiwa hali kama hii ya mashambulio ya kigaidi?
6/28/202310 minutes
Episode Artwork

Siku ya Kimataifa ya dhidi ya dawa za kulevya na usafirishaji Haramu

Kila mwaka tarehe 26 Juni ulimwengu huadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga uraibu na usafirishaji wa dawa za kulevya. Katika makala ya mwaka huu tunakuuliza unadhani nchi zimefanya vya kutosha kudhibiti tatizo hili? Na nini kifanyike ili kutatua suala hili?
6/28/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Jukumu la viongizi wa Africa kutatua mzozo wa Ukraine na Urusi

Ujumbe wa viongozi wa Afrika umesema umepata mafanikio makubwa katika juhudi zao za kupatanisha Urusi na Ukraine baada ya ziara yao katika mataifa hayo mawili.  Unadhani viongozi wa Afrika wanamchango upi kumaliza vita vya Urusi na Ukraine?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
6/25/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Idadi ya wahamiaji wanaoelekea ulaya yaongezeka

Mkuu wa umoja wa Ulaya na viongozi wengine wa bara hilo wameafikiana na rais wa Tunisia Kais Said kuhusu namna ya kuwazuia wahamiaji wanaotoka barani Afrika kwenda Ulaya. Je unafikiri mataifa ya Afrika yanastahili kufanya   nini kupunguza idadi ya wahamiaji na wakimbizi wanaoingia Ulaya?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
6/24/20239 minutes, 43 seconds
Episode Artwork

Hofu ya mitandao ya kijamii kusambaza uvumi

 Umoja wa Mataifa umeonya kuendelea kuenea kwa ujumbe wa chuki kwenye mitandao ya kijamii.Katibu mkuu wa UN, António Guterres anataka hatua stahiki kuchukuliwa kudhibiti usambazaji wa ujumbe wa chuki na uchochezi. Tumeuliza nini kifanyike kumaliza semi za chuki kwenye mitandao ya kijamii?Haya hapa baadhi ya maoni yako.
6/21/20239 minutes, 58 seconds
Episode Artwork

Pande hasimu nchini Sudan zakubaliana kusitisha mapigano kwa mara nyingine

Pande hasimu nchini Sudan zakubaliana kusitisha mapigano kwa mara nyingine, ili kutoa nafasi kwa misaada kuwafikia waathiriwa, wakati huu pia Marekani na Saudi Arebei yakiendeleza mazungumzo ya upatanisho. Haya yanajiri wakati huu umoja wa mataifa yakieleza kusikitishwa kwake na kuendelea kushuhudia kwa maafa yanayotokana na mapigano hayo.Haya hapa baadhi ya maoni yako kuhusu mada hii.
6/20/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu hatuwa ya kuzimwa internet kwa ajili ya kudhibiti maandamano

Nigeria, Afrika ya Kati, Sudan, na hivi karibuni Senegal... nchi mbalimbali za Afrika, zilifunga mitandao ya kijamii na intaneti, ili kudhibiti maandamano.Unadhani Kuzima mitandao ya kijamii kunaweza kusitisha maandamano katika mataifa yetu?Je, Kuzima mitandao ya kijamii ni ukiukwaji wa uhuru wa kimsingi wa raia ?
6/15/20239 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu IGAD kuwaleta pamoja mahasimu wa kivita nchini Sudan

Viongozi wa ukanda wa IGAD wamepanga kuwakutanisha mahisimu wawili wa kijeshi nchini Sudan Abdel Fattah al Burhani na mwenzake Mohammed Dagalo ana kwa ana ilikumaliza mapigano yanayoendelea.Unadhani hili litafanikiwa?Unaamini mashirika ya kikanda kama IGAD yanaweza kumaliza vita nchini Sudan?
6/15/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu kukamatwa kwa wapinzani kuelekea uchaguzi

leo tunazungumzia kuhusu Hatua ya kukamatwa kwa mshauri wa mwanasiasa wa upinzani nchini DRC Moise Katumbi Salomon Idi Kalonda kumeibua mjadala kuhusu namna vyombo vya usalama na sheria vinatumika kisiasa kujaribu kuwanyamazisha wapinzani.Kilochotokea nchini DRC kimeshuhudiwa Senegal, Guinea na hata Uganda wakati mmoja.Unadhani ni njama za serikali zilizoko madarakani kubana wapinzani?Matukio kama haya yanashuhudiwa nchini mwako?
6/15/202310 minutes
Episode Artwork

Mada huru kwenye makala habari Rafiki kila Ijumaa

kwenye makala haya wasikilizaji wamezungumzia mambo mengi,siasa ,elimu  na hata uchumi.
6/9/202310 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Kuyashirikisha makundi yenye silaha kwenye mazungumzo ya amani

Kuna ongezeko kubwa la makundi yenye silaha katika mataifa ya Afrika Makundi yenye silaha yanatuhumiwa kuchangia kuzorota usalama katika mataifa yenye mizozo.Je ni sahihi kuyashirikisha kwenye mazungumzo ya amani ? Na mbinu ya kuyamaliza?
6/9/202310 minutes, 3 seconds
Episode Artwork

Ugumu wa mataifa ya Afrika kuwapa raia wao makazi bora

Haki ya raia kuishi kwenye makazi bora imeendelea kuwa changamoto kwa mataifa ya Afrika Shirika la umoja la mataifa kuhusu makazi ,UN Habitat limeandaa mkutano mkubwa jijini Nairobi wakati huu kukiendelea kushuhudiwa  ongezeko la mitaa ya mabanda katika nchi za Afrika.
6/6/20239 minutes, 32 seconds
Episode Artwork

Wito wa Marekani na Saudia wa kufanyika upya mazungumzo kumaliza vita Sudan

 Nchi za  Marekani na Saudia ambazo zimekuwa zikiratibu mazungumzo ya kuleta amani Sudan zimetaka mazungumzo hayo kufanyika upya . Leo hii ,tunajadiliana kuhusu wito wa  Marekani na Saudi Arabia,mwishoni mwa wiki ,kutaka  kufanyika upya kwa mazungumzo ya amani kati ya pande hasimu zinazopigana nchini Sudan wakati huu mapigano makali yakiendelea kushuduiwa.Hivi  Unaamini kuwa nchi za kikanda zinashindwa kutatua tatizo la Sudan?Unafikiri  ni  wakati mwafaka wa kuwatuma askari wa kulinda amani nchini Sudan  na Nini kingine kinaweza kufanyika ile kuleta suluhu la kudumu?
6/5/20239 minutes, 53 seconds
Episode Artwork

Maoni mbalimbali ya wasikilizaji kuhusu mada walizochagua Ijumaa hii

6/2/20239 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.

6/1/20239 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov barani Afrika

6/1/20239 minutes, 32 seconds
Episode Artwork

HRW lashtumu mamlaka nchini DRC kwa kuchochea ukandamizaji wakati wa maandamano

5/30/20239 minutes, 29 seconds
Episode Artwork

Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.

5/29/20239 minutes, 38 seconds
Episode Artwork

Mada huru kutoka wasikilizaji wetu katika Habari rafiki

Kama ilivyo ada kila Ijumaa tunawapa nafasi kwa wasikilizaji kutoa maoni kuhusu taarifa ama matukio ya wiki hii kwenye maeneo yao.
5/27/202310 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Ubaguzi wa rangi katika soka la Uhispania

Tukio la juma hili la ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezaji wa Real Madrid ya Uhispania na timu ya taifa ya Brazil, Vinicius Junior, limeamsha hisia kali, wadau wakitaka hatua kali kuchukuliwa. Tayari watu kadhaa wamekamatwa.Msikilizaji Unafaikiri nini suluhu ili kukomesha matukio kama haya kwenye michezo?FIFA inapaswa kufanya nini  kuhakikisha sheria zilizoko zinafanya kazi? Kupata majibu ya maswali haya ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka akizungumza na wasikilizaji
5/25/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta aapa kushikilia chama cha Jubilee

Aliyekuwa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema hataondoka kwenye ulingo kwa kisiasa kwa sasa ili kukilinda chama cha Jubilee kilichomuweka madarakani. Hatua hii imekuja kutokana na mgawanyiko ndani ya chama hicho baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kumuunga mkono rais wa sasa William Ruto. Unazungumzia vipi uamuzi wa rais Kenyatta? Unadhani ni sahihi kwa marais wastaafu kuendelea kujihusisha na siasa, Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka akizungumza na wasikilizaji wetu...
5/24/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Polisi nchini DRC watumia nguvu kupita kiasi kuzima maandamano ya upinzani

Nchini DRC upinzani umelaani polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuyazima maandamano yao mwishoni mwa juma lililopita jijini Kinshasa, wakati video ikionesha polisi wakimdhalilisha na kumpiga kijana moja ikiendelea kusambaa mitandaoni. Mwanasiasa mwengine wa Upinzani amejikuta msafara wake umezuiwa kuelekea katika eneo la Congo central hivi leo kuenda kukutana na wafuasi wake. Tumekuuliza msikilizaji unafikiri polisi wanastahili kuwa tabia gani? Je polisi nchini kwako hukabiliana na maandamano vipi? Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kupata maoni zaidi
5/23/202310 minutes, 8 seconds
Episode Artwork

Rais wa Tanzania Samia Suluhu ahimiza michezo ya soka nchini mwake

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutoa usafiri wa ndege kwa ajili ya mashabiki kwenda nchini Algeria pamoja na dolla za Marekani Elfu tisa kwa kila goli litakalofungwa na wachezaji wa klabu ya soka ya Yanga katika fainali ya mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kupata mengi zaidi na wasikilizaji wa RFI Kiswahili
5/22/202310 minutes
Episode Artwork

maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili

Kila siku ya Ijumaa rfi Kishwahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile unayoipenda katika makala Habari Rafiki. Juma hili tumekuwa na taarifa mseto kutoka kile pembe ya dunia, na waskilizaji walipata nafasi ya kutoa maoni yao. Skiza makala haya.
5/19/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Marais wa Africa kuelekea Urusi na Ukraine

Ujumbe wa viongozi wa bara Afrika wanaojaribu kuzishawishi nchi za Urusi na Ukraine kumaliza mapigano yanayoendelea unatarajiwa kuzuru Moscow na Kiev kuanzia mwezi ujao.   Taarifa hii imethibitishwa na ofisa wa ngazi ya juu katika  serikali ya Afrika Kusini, nchi ambayo imeonekana kuwa mshirika wa karibu wa rais Putin. Marais  za Zambia, Senegal, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda, Misri na Afrika Kusini, wanatarajiwa kuongoza juhudi hizo, suala ambalo limekaribishwa na umoja wa mataifa. Nini maoni yako kuhusu hatua hii? skiza makala haya
5/19/20239 minutes, 49 seconds
Episode Artwork

Rais Tshisekedi akanusha kuondoa taifa lake EAC

Rais wa DRC, Felix Tshisekedi, alitupilia mbali madai kuwa nchi yake huenda ikajiondoa kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki na kubakia SADC, siku chache baada ya matamshi yake akivikosoa vikosi vya EAC kushindwa kukabiliana na mkundi ya waasi.       Nini mtazamo wako kuhusiana na kauli ya Tshisekedi? Haya hapa baadhi ya maoni yako mskilizaji.
5/15/20239 minutes, 55 seconds
Episode Artwork

Habari Rafiki mada huru

5/13/20239 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Maujai ya shakahola na shinikizo za kuunda sheria kudhibiti madhehebu nchini Kenya

5/12/20239 minutes, 30 seconds
Episode Artwork

Je vikosi vya SADC ndio suluhu ya usalama mdogo mashariki mwa DRC

Muungano wa nchi za SADC, umeafikiana kutuma kikosi chake nchini DRC kusaidia kurejesha usalama mashariki mwa nchi hiyo. Tumewauliza wasikilizaji wetu ikiwa wanadhani kikosi cha SADC kitaleta tofauti mashariki mwa DRC. Raia nchini DRC watazamie nini kutoka kwa kikosi cha SADC
5/10/20239 minutes, 28 seconds
Episode Artwork

Ni mbinu zipi bora za kutumia ili kudhibiti mafuriko barani Afrika

Mataifa ya ukanda wa Afrika mashariki yameshuhudia mafuriko makubwa ambapo mamia ya watu nchini Rwanda na DRC wamethibitishwa kufariki. Tumepata taswira ya hali ilivyo katika mataifa mbalimbali. Pia tumeuliza suluhu ya changamoto hizi za mafuriko ni nini? Tusikilize maoni ya wasikilizaji wetu.
5/9/202310 minutes
Episode Artwork

Je viongozi wa ukanda wameshindwa kutatua changamoto za usalama kwa nchi wanachama

Mwishoni mwa wiki iliyopita, viongozi kutoka mataifa ya Afrika walikutana nchini Burundi kujadili jitihada za kujaribu kuleta Amani mashariki mwa DRC, eneo ambalo makundi ya waasi wameendelea kuwaua raia. Tunaangazia mtazamo wako kuhusiana na mkutano huo uliofanyika mjini Bujumbura. Je, viongozi hao wamechukua maamuzi muhimu yatakayosaidia kuleta Amani?
5/9/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Maoni ya waskilizaji kuhusu mada walizochagua wenyewe

Shukran sana Minzilet Ijai, mimi naitwa Ali Bilali Mtangazaji asiependa makuu, Ilikuwa ni wiki yenye furaha kuwa nawe msikilizaji katika Makala haya ya Habari Rafiki, nikushkuru kwa kuendelea kuwa muaminifu kwetu, tumalize juma hili na Mada huru kama ilivyo ada ya kila Ijumaa.
5/5/20239 minutes, 38 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu mkutano wa viongozi wa ICGL unaotarajiwa kufanyika Bujumbura mei 6

Viongozi wa kanda na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guteres watakutana mjini Bujumbura siku ya Jumamosi kujadili usalama mashariki mwa DRC, baada ya M23 kuanza kujiondoa. Mkutano huu unakuja huku DRC ikikosoa uimara wa EAC. Unatarajia nini kutoka kwa mkutano huu?  Je, mamlaka ya kikosi cha EAC yaangaliwe upya?
5/4/20239 minutes, 52 seconds
Episode Artwork

Siku kuu ya kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari Mei 03 ya kila mwaka

Dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari. Kupasha habari kuna gharama ya kibindamu ambapo tangu mwanzoni mwa mwaka wanahabari saba wameuawa na 570 bado wako gerezani. Je Serikali zinaheshimu uhuru wa vyombo vya habari? Haki ya kupata habari ni muhimu katika dunia iliyovamiwa na habari za kupotosha na za uongo?
5/3/20239 minutes, 54 seconds
Episode Artwork

Mataifa ya Afrika mashariki na mpango mkakati kuthibiti ajira za watu wao uarabuni.

5/2/202310 minutes, 10 seconds
Episode Artwork

Mada huru kutoka kwa wasikilizaji wetu

Kila ijumaa ni siku ya mada huru. Ambapo wasikilizaji wetu huzungumzia swala ambalo limetokea kwenye nchi zao au pia kile ambacho walisikia katika matangazo yetu ya wiki hii.
4/29/202310 minutes, 17 seconds
Episode Artwork

Matumaini ya udhibiti wa malaria kupitia chanjo kutoka chuo kikuu cha Oxford

Makala hii imeangazia kiwango cha maambukizi ya malaria barani Afrika lakini pia ni kwa namna mataifa kadhaa ya bara hilo yanavyopambana na ugonjwa huo, baada ya shirika la afya duniani WHO kutangaza kuwa chanjo dhidi ya ugonjwa kutoka chuo kikuu cha Oxford Uingereza ina uwezo wa kumaliza ugonjwa huo na hivyo kuibua matumaini makubwa.
4/27/202310 minutes, 9 seconds
Episode Artwork

Viongozi wa kijeshi huko Kivu kaskazini wahoji kuhusu utendakazi wa EAC

Mwishoni mwa juma lililopita gavana wa Kivu Kaskazini Luteni jenerali Constant Ndima, alisema licha ya waasi wa M23 kutangaza kusitisha mapigano, bado waasi hao hawajaondoka katika maeneo waliokuwa wakiyadhibiti na kuhoji kuhusu utendakazi wa vikosi vya EAC. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza maoni ya wasikilizaji wetu
4/26/20239 minutes, 56 seconds
Episode Artwork

Nchini Kenya Watu waaminishwa kufunga hadi kufa iliwamuone Yesu Kristo

Makala hii imeangazia shughuli ya polisi nchini Kenya kuendelea kufukua miili ya watu ambao walikufa huko Malindi pwani ya Kenya katika shamba la Shakahola kufuatia kuwa waliaminishwa na mhubiri mmoja kwamba wafunge chakula hadi kufa ili waonane na Yesu Kristo. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka pamoja na wasikilizaji wetu.
4/25/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Raia wengi waendelea kuhamlishwa jijini Khartoum Sudan

Makala imeangazia maelfu ya watu wanaoendelea kuhamishwa kutoka jijini Khartoum huko Sudan wakati huu kukishuhudia mapigano kati ya jeshi la serikali na waasi wa RSF. Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kusikiliza zaidi
4/24/202310 minutes, 2 seconds
Episode Artwork

Hali ya kibinadamu yaendelea kuwa mbaya Sudan

Maelfu ya raia wa kigeni wamekwama nchini Sudan wakati huu mapigano yakiendelea kati ya jeshi la nchi hiyo na vikosi vya RSF, watu zaidi ya mia mbili wakiripotiwa kuuawa. Unadhani jeshi linaweza kuleta uongozi thabiti nchini Sudan? Mashirika ya kikanda kama vile umoja wa Afrika yanafanya vya kutosha kudhibiti hali hii?
4/21/202310 minutes
Episode Artwork

Tanzania yafuta sherehe za Uhuru, fedha zitumike kwa maendeleo

Kwenye Makala habari rafiki Jumatano hii tunaangazia hatua ya rais wa Tanzania Samia Suluhu kuahirisha sherehe ya muungano ya tarehe 26 mwezi huu, kwa lengo la kuokoa fedha ili zitumike kwenye miradi ya maendeleo. Tunakuuliza wewe unazungumziaje hatua hii? Unadhani kuna manufaa ya siku za kitaifa kuadhimishwa kwa gharama kubwa?
4/21/202310 minutes
Episode Artwork

Kukamatwa kwa mchungaji matata nchini Kenya aliyewapoteza washirika kufunga hadi kufa

Kwenye makala habari Rafiki ,Leo hii tunaangazia swala la Imani potovu baada ya mchungaji mmoja nchini Kenya kukamatwa baada ya kuwashurutisha watu sita kufunga hadi kufa,   Je nchini kwako umeshuhudia  mambo kama haya ? Nini serikali ifanye kuwalinda raia dhidi ya mafunzo ya dini potovu?
4/18/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Mapigano yanayoendelea nchini Sudan kati ya majenerali Abdul Fattah al Burhan na Mohammed Daglo

Milipuko na milio ya risasi inaendelea Khartoum Sudan Leo  kwenye Habri Rafiki ,tunaangazia  mapigano nchini Sudan kati ya majenerali hasimu ambayo yamesababisha vifo vya watu  karibu 100 80.   Nini maoni yako kuhusu kinachoendelea nchini humo?   Nini kifanyike kukomesha mgogoro nchini humo?
4/17/202310 minutes, 5 seconds
Episode Artwork

China yakamilisha siku tatu za Mazoezi yanayolenga kuivamia Taiwan

China imefanya mazoezi ya siku tatu ya  kijeshi huku ikikisiwa kuwa na mpango wa  kulenga maeneo muhimu ya Taiwan.Wakati jeshi la China likifanya mazoezi hayo  kuzunguka kisiwa hicho, Marekani iliitaka China kuonyesha kujizuia. Mwishoni mwa juma  maafisa wa ulinzi mjini Taipei waliishutumu Beijing kwa kutumia ziara ya Rais Tsai wa Marekani kama kisingizio cha kufanya mazoezi ya kijeshi, ambayo yamevuruga pakubwa amani, utulivu na usalama katika eneo hilo. Kufuatia swala hili tumewauliuza wasikilizaji iwapo  wanadhani hii itaongeza mvutano kati ya Marekani na China?  na Je, wanaamini kuwa China inaweza kuivamia Taiwan ? na haya yalikua maoni yao.
4/11/20239 minutes, 56 seconds
Episode Artwork

Maoni yako kuhusu habari zetu juma hili

Kila Ijumaa unapata nafasi ya kuchangia mada yoyote ile ndani ya makala habari rafiki. Skiza maoni yako ya juma hili.
4/10/202310 minutes, 1 second
Episode Artwork

Je viongozi wa Africa wanaweza kufikishwa mahakamani

Rais wa zamani wa Marekani afikishwa mahakamani na kufunguliwa mashtaka 34 ya uhalifu dhidi yake, mashtaka ambayo Donald Trump amekana yote. Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, 76, mgombea wa uchaguzi wa urais wa mwka 2024, anapitia wakati wa kihistoria wa kimahakama Jumanne, Aprili 4, alipofikishwa katika mahakama ya jinai kusomewa mashtaka yake, katika kesi ya ulaghai inayohusishwa na pesa zilizolipwa kwa mwingizaji wa filamu za watu wazima mwaka 2016. Donald Trump hana hatia. Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ametupilia mbali mashtaka dhidi yake katika kesi ya kihistoria ya uhalifu katika mahakama ya New York. Bw. Trump anashtakiwa kwa kosa la unyanyasaji kuhusiana na pesa zilizolipwa kwa mwingizaji wa filamu za watu wazima mwaka 2016. Ilibidi ashtakiwe katika kesi ambayo itakuwa na uzito mkubwa katika azma yake ya kushinda uchaguzi wa urais. Nchini mwako kiongozi wa ngazi ya juu, anaweza fikishwa mahakamani ndilo swali tumekuuliza.
4/6/20239 minutes, 47 seconds
Episode Artwork

Muswada wa kuwafungia baadhi ya wagombea nchini DRC waibua hisia

Nchini DRC, muswada wa sheria unaotaka mgombea urais wa nchi hiyo awe na uraia wa taifa hilo kwa kuzaliwa na wazazi wote wawili Wakongomani, muswada ambao tayari umeibua hisia baadhi wakiona ni kama unalenga kuwazuia baadhi ya wagombea wanaojipanga kwa uchaguzi wa mwaka ujao. Unadhani wagombea waliozaliwa na wazazi kutoka nchi tofauti wapewe nafasi kuongoza? Wadadasi wanahisi kuwa sheria hiyo inamlenga Mosi Katumbi, ambaye analenga kuwania urais na ana ushawishi mkuwa wa kisiasa kuelekea uchaguzi wa mwaka huu. Haya hapa baadhi ya maoni yako.
4/6/20239 minutes, 59 seconds
Episode Artwork

Africa yaweza faulu bila mikopo

Katika mahakala haya, tunajadili kauli ya makamo rais wa Marekani, kushauri mataifa ya Africa kutafuta mbinu ya kukabialiana na kuendelea kwa kupanda kwa madeni ya kitaifa. Je mataifa ya Africa, yanaweza kujiendeleza bila mikopo? katika makala haya utapata kuskia maoni yako mskilizaji.
4/4/20239 minutes, 46 seconds
Episode Artwork

Maandamano yamesitishwa nchini Kenya

Nchini Kenya, rais William Ruto, ameitisha mazungumzo na upinzani baada ya maandamano ambayo yamesabisha uharibifu mkubwa wa mali. Rais Ruto katika wito wake ameutaka upinzani kusitisha maandamani ili kutoka nafasi ya majadiliano. Katika hatua nyingine, Kiongozi wa upinzani Raila Odinga, amekubali wito wa rais Ruto, nini maoni yako kuhusu hatua hii, haya hapa baadhi ya maoni yako.
4/3/202310 minutes
Episode Artwork

Mada yako msikilizaji

3/31/202310 minutes, 15 seconds
Episode Artwork

Utendakazi wa jumuiya za kikanda

Jumuiya za kikanda zalaumiwa kwa kuzembea kuwasaidia nchi wanachama Hivi Karibuni ,jumuiya za kikanda kama vile  Umoja wa Afrika ,Jumuiya ya Afrika Mashariki ,zimeshtumiwa kwa kushindwa kusaidia nchi wanachama kutatua mizozo inayowakabili
3/31/202310 minutes, 27 seconds